Katika jaribio la kwanza la kisayansi, panya aliye na wazazi wawili wa kiume amefanikiwa kufikia utu uzima. Watafiti walifanikisha hatua hii muhimu kwa kutumia uundaji wa seli za kiinitete ...
Arsenal iko tayari kuvunja rekodi yao ya uhamisho msimu wa kiangazi kwa dau la £100m (euro 120m) kumsajili mshambuliaji wa Inter Milan na Argentina Lautaro Martinez, mwenye umri wa miaka 27.
Mother-In-Law actress Sophia Muhia, alias Maria Madusko, has introduced her gorgeous daughter online. Mother-In-Law actress Maria with her daughter. Source: TikTok Maria in a video she shared on ...
MKURUGEZNI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema hospitali hiyo, inatarajia kuja na kifaa cha kisasa cha kupima ugonjwa wa kisukari kwa njia ya mate. Amesema ...
Kijana Rashid Mussa (24) enzi za uhai wake. Morogoro. Mwili wa kijana mwenye ualbino, Rashid Mussa (24), umekutwa katika shamba la mtu asiyejulikana, baada ya kutoweka nyumbani kwake kwa siku tatu.
Mariam Zaaria mwenye umri wa miaka 32 ni miongoni mwa maelfu ya wanawke wakimbizi hapa anaeleza changamoto wanazozipitia "Maisha katika kambi hii ni hatari kwa wanawake. Ni hatari sana kwa sababu ...
Kinara wa mabao ni Clement Mzize wa Yanga mwenye tisa. Akizungumza na Mwananchi, Fei Toto alisema kitendo cha kufikisha asisti 10 kwake ni kitu kizuri kwani ni mara ya kwanza kinatokea kwenye maisha ...
"Mtu mzima mwenye akili timamu anauliza eti CCM itaondoka lini madarakani? CCM haiondoki, Ng’o!" alisema kwa msisitizo. Ziara ya Wasira inakuja siku chache baada ya kuteuliwa na kupitishwa kushika ...
Awamu ya sasa ya mapigano ilizuka mwishoni mwa mwezi Januari katika eneo lenye utajiri wa madini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kati ya vikosi vya serikali na kundi la waasi ...
Nimekua msanii wa taasisi mwenye kasi na mwenye kuipambania kazi yangu licha ya uwekezaji unaofanywa na kampuni yenu sikatai ni jambo kubwa na la kheri kumkomboa binti mwenye kipaji kwa kumuwekezea.
Wengi wanasubiri kuona beki mkongwe Kelvin Yondani atakavyokuwa na kazi ya kuizuia safu ya ushambuliaji ya Yanga inayoongozwa na Clement Mzize mwenye mabao saba na Prince Dube aliyefunga matano. Huu ...